Friday, November 14, 2014

TWITE AGOMA KUONGEZA MKATABA YANGA

Twite wakati akisaini mkataba uliopita
Mashabiki wa Yanga wakimkejeli
aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba
kwa kushindwa kumsajili Twite siku
Twite aliposaini Yanga
Shabiki wa Yanga akijongea uwanjani
Beki mkabaji wa Yanga Mbuyu Twite amegoma kuongeza mkataba mpya na mabigwa hao wa zamani wa VPL. Habari ambazo sio rasmi toka ndani ya klabu hiyo zinasema mchezaji huyo bado anaidai klabu hiyo ya mtaa wa Jangwani na Twiga fedha (signing fee) ya usajili  uliopita ambazo baso hajamaliziwa. Kwa sasa Twite anawindwa na klabu za Simba SC na Azam FC zote za Dar es salaam.







No comments:

Post a Comment