Shirikisho la soka la
Dunia FIFA limetangaza majina ya wachezaji kumi wanaowania tuzo ya mfungaji wa
goli bora FIFA Puskas kwa mwaka 2012. Jumla ya magoli 10 yameteuliwa na kura
zimeanza kupigwa ambapo zitapigwa hadi tarehe 29 Novemba 2012 ambapo
yatapunguzwa na kubaki matatu.
Goli bola
liatatangazwa Januari 7 2013 wakati wa ugawaji wa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA
(FIFA Ballon d’Or 2012) jiji Zurich. Jina la Puskas limetokana na mchezaji
nguli wa Hungary Ferenc Puskas.
Magoli
yaliyochaguliwa ni:
1. Hatem
Ben Arfa: (Newcastle v Blackburn Rovers, 07 Januari 12)
2. Gaston
Mealla: (Nacional Patosi v The Strongest, 29 Januari 12)
3. Agyemang
Badu: (Ghana v Guinea 01 Februari 12)
4. Miroslav
Stoch: (Fenerbahce v Gencelerbirligi, 03 Machi 12)
6. Moussa
Sow: (Fenerbahce v Galatasaray, 17 Machi 12)
7. Eric
Hassli: (Vancouver Whitecaps v Toronto FC, 16 May 12)
8. Radamel
Falcao: (America de Cali v Atletico Madrid, 19 May 12)
9. Lionel
Messi: (Brazil v Argentina, 09 June 12)
10.
Olivia Jimnez: (Mexico v Switzerland,
22 Agosti 12)
Yatazame magoli hayo
na upige kula katika link ifuatayo:
No comments:
Post a Comment