![]() |
| Leon Osman |
Kiungo wa Everton anayemalizia
mpira wake na kuonekana kuelekea ukingoni mwa kipaji chake Leon Osman (31)
amesema hajakata tamaa na hatakata tamaa. Osman anategemea kucheza mchezo wake
wa kwanza wa kimataifa baada ya kuitwa kwa mara ya kwanza na kocha wa Uingereza
Roy Hogson.
![]() |
Leon Osman katika moja ya mechi za watani wa jadi (Derby Match) dhidi ya
Liverpool
|
England baadae leo itapambana na
Sweden katika mchezo wa kirafiki unaotambuliwa na FIFA utakaofanyika jijini
Stockholm, Sweden. Leon Osman amejumuishwa kwenye kikosi cha England kilichoenda
Stockholm.


No comments:
Post a Comment